Matthew 9:20-21

20 aWakati huo huo, mwanamke mmoja, ambaye alikuwa na ugonjwa wa kutokwa damu kwa muda wa miaka kumi na miwili, akaja nyuma ya Isa, akagusa upindo wa vazi lake, 21 bkwa maana alisema moyoni mwake, “Kama nikigusa tu vazi lake, nitaponywa.”

Copyright information for SwhKC